Breaking News

LIVE: Polepole akitangaza maamuzi ya kikao cha NEC ya CCM kilichokaa leo


Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) anazungumza na waandishi wa habari muda huu katika Ofisi Ndogo za CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.

Katika mkutano huo na wanahabari, Polepole anaeleza maamuzi yaliyofikiwa na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) iliyokutana leo katika kikao chake.

Fautilia matangazo hayo moja kwa moja hapa chini;
 

No comments